Mwanamke abakwa na kisha kutupwa kwenye reli

Watu wawili wanaodaiwa kumbaka msichana mmoja huko mombasa na kisha baadaye kumtupa kwenye reli ya gari moshi wanaendelea kusakwa na polisi wa makupa mjini Mombasa. Aidha kulingana na muathiriwa ni kwamba jamaa waliomfanya kitendo hicho anawafahamu vyema.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories