Mwanamke afikishwa kortini kwa tuhuma ya kumuua mumewe
Published on: January 02, 2018 07:49 (EAT)
Mahakama mjini Nakuru imempa kiongozi wa mashataka siku kumi na nne zaidi kukamilisha uchunguzi dhidi ya washukiwa wanne wanaodaiwa kushirikiana kumuuwa mwanabiashara mashuhuri Julius Kimani mwezi uliopita. Kesi hiyo inamhusisha mkewe marehemu ambaye ndiye mshukiwa mkuu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment