Mwanamke ataka mazishi ya Too yasifanyike

Mwanamke mmoja ameelekea mahakamani kuiomba isimamishe maandalizi na mziko ya aliyekuwa mwanasiasa mashuhuri Marehemu Mark Too.
Fatuma Ramadhani Hassan amewashitaki wajane Sofi Too na Mary Too kwa niaba ya mwanawe mwenye umri wa miaka kumi na sita kwa madai ya kumtenga na kukosa kumtambua kama mmoja wa wana wa marehemu.

Tags:

mark too Fatuma Ramadhani Hassan

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories