Mwanamume awauwa wanawe 2 na mkewe
Published on: October 25, 2016 09:59 (EAT)
Hofu na huzuni zimetenada katika kijiji kimoja katika eneo bunge la Murang’a ambapo mtu mmoja ameripotiwa kuua wanawe wawili, mkewe kabla ya kujitia kitanzi. Wanakijiji wamemtaja mtu huyo kuwa mnyamavu ambaye hakuwa na mameno mengine. Haijabainika sbabu ya kufanya hivyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment