Mwanamume awauwa wanawe 2 na mkewe

Hofu na huzuni zimetenada katika kijiji kimoja katika eneo bunge la Murang’a ambapo mtu mmoja ameripotiwa kuua wanawe wawili, mkewe kabla ya kujitia kitanzi. Wanakijiji wamemtaja mtu huyo kuwa mnyamavu ambaye hakuwa na mameno mengine. Haijabainika sbabu ya kufanya hivyo.

Tags:

muranga maragua Punda milia

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories