Mwanamume mmoja huko Nandi ajaribu kujiua
Published on: September 26, 2017 07:58 (EAT)
Mwanamume mmoja katika kijiji cha Chesumei kaunti ya Nandi anaendelea kuunguza majeraha mabaya ya moto huku mkewe akiaga dunia baada ya kuichoma nyumba yake kwa petroli usiku wa kuamkia leo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment