Mwanaume afa maji katika kidimbwi cha hoteli Nakuru

Mwili wa Elvis Keter aliyetumbukia mto Molo siku ya Jumamosi akipiga picha za selfie hatimaye umeopolewa. Na katika kaunti hiyo hiyo ya Nakuru familia moja inalilia haki baada ya mwana wao kufa maji katika kidimbwi cha kuongolea hotelini.

Tags:

Nakuru. Elvis Keter Molo River

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories