Mwanaume aliyedhaniwa kufa atokea siku ya mazishi
Published on: March 25, 2017 08:30 (EAT)
Maandalizi ya mazishi ya mwanaume mmoja katika kijiji cha Ombokwari kaunti ya Migori yaligeuka na kuwa karamu baada ya jamaa aliyedhaniwa kuwa amekufa miezi miwili iliyopita kupatikana akiwa hai akibugia pombe katika baa moja eneo hilo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment