Mwanaume aliyedhaniwa kufa atokea siku ya mazishi

Maandalizi ya mazishi ya mwanaume mmoja katika kijiji cha Ombokwari kaunti ya Migori yaligeuka na kuwa karamu baada ya jamaa aliyedhaniwa kuwa amekufa  miezi miwili iliyopita kupatikana akiwa hai akibugia pombe katika baa moja eneo hilo.

Tags:

Migori mwendeshaji bodaboda

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories