Mwanaume aliyedhaniwa kufa atokea siku ya mazishi
Published on: March 25, 2017 08:30 (EAT)
Maandalizi ya mazishi ya mwanaume mmoja katika kijiji cha Ombokwari kaunti ya Migori yaligeuka na kuwa karamu baada ya jamaa aliyedhaniwa kuwa amekufa miezi miwili iliyopita kupatikana akiwa hai akibugia pombe katika baa moja eneo hilo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment