Mwanaume aliyekuwa mikononi mwa polisi hajulikani aliko

Wingu la simanzi limegubika familia moja katika eneo la Kuria Mashariki, kaunti ya Migori baada ya jamaa wao aliyetiwa mbaroni na
polisi kutoweka asijulikane alipo. Baru Nyamohanga ambaye alitiwa mbaroni pamoja na washukiwa wengine watano alitoweka akiwa mikononi mwa polisi wa kituo cha Kehancha huku polisi wakidai kuwa walimwachilia huru. Kassim Mwalimu adinasi ameandaa taarifa hiyo kutoka migori.

Tags:

Migori Baru Nyamohanga

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories