Mwanaume amuua mpenziwe na kisha kujiua
Published on: June 14, 2017 09:23 (EAT)
Mzozo wa kimapenzi katika kijiji cha Botori viungani mwa mji wa Kisii umesababisha vifo vya wapenzi wawili. Jamaa mmoja aliyeachwa na mkewe akimuandama mke huyo na kumdunga visu kadhaa hadi kufa na kisha kujiua mwenyewe kwa kisu hicho hicho.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment