Mwanaume amuua mpenziwe na kisha kujiua

Mzozo wa kimapenzi katika kijiji cha Botori viungani mwa mji wa Kisii umesababisha vifo vya wapenzi wawili. Jamaa mmoja aliyeachwa na mkewe akimuandama mke huyo na kumdunga visu kadhaa hadi kufa na kisha kujiua mwenyewe kwa kisu hicho hicho.

Tags:

mapenzi Kisii Botari mpenzi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories