Mwanaume auliwa na mpenziwe Meru
Published on: October 01, 2017 08:49 (EAT)
Mwanamke mmoja anadaiwa kumuua mpenziwe kwa sababu zisizoeleweka walipokuwa wakijistarehesha ndani ya baa huko Meru. Mwanamume huyo ambaye alikuwa mwalimu katika shule ya upili ya Meru Muslim alidungwa kisu mara tano na kufariki papo hapo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment