Mwawakili wa Rais Kenyatta kutoa majibu kwa mahakama Jumatatu

Mawakili wa tume ya uchaguzi nchini-IEBC na wake wa Rais Uhuru Kenyatta hapo kesho wanatarajiwa kuwasilisha stakabadhi katika mahakama ya upeo, kujibu mashtaka ya John Harun Mwau, Njonjo Mue na Khelef Khalifa wanaotaka matokeo ya uchaguzi wa urais wa mwezi jana yatupiliwe mbali na zoezi jipya kuandaliwa. Mchana kutwa, mawakili hawa wamekuwa kwenye pilka pilka za kuwianisha hoja zao, huku dkt. Ekuru aukot, aliyewania urais mwezi jana na kubwagwa akiwasilisha ombi la kujumuishwa kwenye kesi hizo mbili.

Tags:

IEBC JUBILEE supreme court PRESIDENTIAL PETITION

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories