Mwisho Wa Safari
Published on: January 27, 2015 07:27 (EAT)
Kulitokea kioja mjini Nyeri wakati mwanamume mmoja anayetuhumiwa kuwa tapeli alipofumaniwa na kupewa adhabu mbayo haijawahi kuonekana katika mji huo. Kando na adhabu hiyo Irungu Maina alipata kichapo cha mbwa kwa kumwibia mwanafunzi mmoja shilingi elfu 15 alizokuwa amepewa kama karo. Wenyeji wanasema kitendo hicho ni funzo la maisha kwa Maina na kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment