Mwombaji wa kitamaduni

Mzee Stephen Oruma Nkaru hualikwa katika siku kuu za kitaifa kama vile siku ya Jamhuri, Mashujaa, Madaraka Dei kuomba. Halfla ya hivi punde ilikuwa siku ya kuwaapisha rais uhuru Kenyatta na naibu wake William ruto kuchukua hatamu za uongozi kwa awamu ya pili. Kwa nini serikali humwalika mzee huyu wa jamii ya wamaasai kuongoza maombi katika mikutano mikuu? Nancy Chepkoech alimtembelea nyumbani kwakwe kijijini Ilbisil kaunti ya Kajiado na kuandaa makala ifuatayo

Tags:

Mzee Stephen Oruma Nkaru

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories