Mzee amzika mkewe kwa siri Muranga
Published on: December 08, 2017 08:23 (EAT)
Mzee mwenye umri wa miaka tisini na mitatu amemzika mkewe akiwa peke yake na kuwaacha wanakijiji vinywa wazi. Kulingana na mzee huyo, Gachuma Gachure alifanya kitendo hiki kwa kuwa familia yake ilikuwa inazozana kuhusu mahali ambapo mke wake angezikwa katika kijiji cha Kamwiyoni kaunti ya Murang’a.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment