Mzozo afisi za ODM
Published on: April 05, 2017 07:24 (EAT)
Chama cha Odm kimeendelea kukumbwa na matatizo siku mbili baada ya vurugu kubwa kushuhudiwa katika kaunti ya Migori. Na leo,kizaazaa kilizuka katika jumba la orange hapa jijini Nairobi baada ya seneta mteule Elizabeth Ongoro na wafuasi wake kuvamia ofisi za Odm kulalamikia kile wamekitaja kama njama ya kumuondoa kutoka kinyanganyiro cha tiketi ya kuwania kiti cha ubunge katika eneo bunge la Ruaraka.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment