Naibu Rais aongoza kikosi cha Jubilee Bungoma
Published on: September 28, 2017 08:17 (EAT)
Naibu Rais William Ruto ametetea hatua ya Jubilee ya kutaka kufanyia marekebisho sheria za uchaguzi akisema kuwa hatua hiyo itasaidia katika kuepusha taifa la zogozogo la marejeo ya uchaguzi kama ilivyoagizwa na mahakama ya juu. Ruto aliyasema haya alipoeendeleza kampeni za jubilee katika kaunti ya Bungoma
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment