Naibu rais aongoza kikosi cha Jubilee Naivasha

Naibu rais William Ruto amekashifu viongozi wa upinzani akisema kuwa hawana ajenda ya kuendeleza taifa na kuwarai wakenya kuunga mkono serikali ya jubilee katika uchaguzi wa mwezi Agosti. Ruto aliyasema haya alipoendeleza kampeni za jubilee katika mji wa Naivasha kaunti ya Nakuru.

Tags:

JUBILEE NAIVASHA william ruto

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories