Naibu Rais aongoza mikutano ya Jubilee Nyamira, Kisii

Chama cha Jubilee kwa mara nyingine kimerejea kaunti za Kisii na Nyamira kusaka angalau kipande cha kura za eneo hilo, huku zikisalia siku 25 uchaguzi mkuu uandaliwe. Naibu wa rais William Ruto aliongoza pilka pilka za kuirai jamii ya Kisii kukumbatia kibwagizo cha Uhuru Tano Tena, huku akiorodhesha mafanikio ya Jubilee miaka minne, na kutoa msururu wa ahadi iwapo watafanikiwa kupata muhula mpya ikulu.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE Kisii william ruto Nyamira

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories