Naibu Rais awaonya wanaouza mihadarati Pwani
Published on: February 06, 2017 07:59 (EAT)
Serikali imeendelea kutoa cheche za maneno kuhusu tatizo la mihadarati ambapo maafisa wa usalama wanaodaiwa kushirikiana na walanguzi wa dawa za kulevya wameonywa wakiambiwa chuma chao ki motoni.
Salim Swaleh anaripoti zaidi
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment