Naomi Karimi aongoza katika mtihani wa KCSE
Published on: December 20, 2017 08:15 (EAT)
Mwanafunzi bora katika mtihani wa KCSE mwaka huu Naomi Kawira Kirimi alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko kwani kulingana naye alitarajia kufanya vyema lakini hakutarajia kuongoza kitaifa. Familia, marafiki na walimu wake walisherekea matokeo hayo mema huku wanafunzi wengine bora na shule zilizofanya vyema zikiendelea kufurahia matokeo
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment