Naomi Karimi aongoza katika mtihani wa KCSE

Mwanafunzi bora katika mtihani wa KCSE mwaka huu Naomi Kawira Kirimi alipokea taarifa hiyo kwa mshtuko kwani kulingana naye alitarajia kufanya vyema lakini hakutarajia kuongoza kitaifa. Familia, marafiki na walimu wake walisherekea matokeo hayo mema huku wanafunzi wengine bora na shule zilizofanya vyema zikiendelea kufurahia matokeo

Tags:

Boy child Naomi Karimi Kawira pangani girls Sing'ore Girls

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories