NASA kurejelea maandamano wiki ijayo
Muungano wa NASA sasa umeashiria kuwa wafuasi wake watarejelea maandamano wiki ijayo. Mikutano ya viongozi wa NASA leo, imepanga mikakati ya maandamano hayo ambayo yanadhamiria kuonyesha kutoitambua serikali. Kadhalika NASA inapanga orodha ya bidhaa na huduma zitakazosusiwa na wafuasi wake ikiwa ni pamoja na majengo ya kibiashara ambayo imetundika picha ya Rais Kenyatta. Viongozi wa Jubilee wanamtaka kinara wa nasa Raila Odinga kulegeza msimamo kulisaidia taifa kusonga mbele.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment