NASA kuzindua kamati itakayoshughulikia mipango ya kuapishwa
Published on: January 04, 2018 08:18 (EAT)
Muungano wa upinzani, NASA, utazindua karibuni kamati maalum itakayoshughulikia mipango ya kuapishwa kwa kinara wake Raila Odinga na Kalonzo Musyoka. Wawili hao wakipangiwa kuapishwa tarehe 30 mwezi huu, mikakati ya kongamano la kitaifa la wananchi litakalotoa maazimio ya jinsi taifa litaundwa upya inarejelewa jumapili hii.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment