NASA kuzindua kamati itakayoshughulikia mipango ya kuapishwa

Muungano wa upinzani, NASA, utazindua karibuni kamati maalum itakayoshughulikia mipango ya kuapishwa kwa kinara wake Raila Odinga na Kalonzo Musyoka. Wawili hao wakipangiwa kuapishwa tarehe 30 mwezi huu, mikakati ya kongamano la kitaifa la wananchi litakalotoa maazimio ya jinsi taifa litaundwa upya inarejelewa jumapili hii.

Tags:

NASA David Ndii Raila swearing in

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories