NASA waelekeza kampeni Lamu na Tana River

Vigogo wa Nasa hii leo waliendeleza kampeni zao katika kaunti za Pwani na kuahidi kuinua uchumi wa eneo hilo. Raila Odinga ambaye aliongoza kampeni hizo Lamu na Tana River ameikosoa serikali kuhusu ukosefu wa usalama Lamu.

Tags:

raila odinga lamu NASA Tana River

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories