NASA walaumu Jubilee baada ya mkutano wao wa pamoja na IEBC kutofanyika
Published on: September 12, 2017 08:54 (EAT)
Tume ya uchaguzi IEBC inanuia kuchapisha karatasi za kupigia kura za kinyanganyiro cha urais katika kampuni ya Al Ghurair huko Dubai, kampuni iliyopata kandarasi hiyo katika uchaguzi uliopita. Haya yamebainika katika stakabadhi iliyotolewa na IEBC kwa vyama vya Jubilee na NASA baada ya mkutano wa pamoja kukosa kufanyika wana-NASA wakidai hawakupewa muda kuchanganua stakabadhi hiyo kabla ya mkutano.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment