NASA walaumu Jubilee baada ya mkutano wao wa pamoja na IEBC kutofanyika

Tume ya uchaguzi IEBC inanuia kuchapisha karatasi za kupigia kura za kinyanganyiro cha urais katika kampuni ya Al Ghurair huko Dubai, kampuni iliyopata kandarasi hiyo katika uchaguzi uliopita. Haya yamebainika katika stakabadhi iliyotolewa na IEBC kwa vyama vya Jubilee na NASA baada ya mkutano wa pamoja kukosa kufanyika wana-NASA wakidai hawakupewa muda kuchanganua stakabadhi hiyo kabla ya mkutano.

Tags:

IEBC raila odinga JUBILEE NASA william ruto

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories