NASA wanataka maafisa 11 wa IEBC wasisimamie uchaguzi

Siku 31 kabla ya marudio ya uchaguzi wa urais muungano wa Nasa umetangaza baadhi ya mabadiliko ambayo unataka yafanywe kabla ya uchaguzi la sivyo uchaguzi usifanyike Oktoba 17 kama ilivyoratibiwa. Baadhi ya masuala tata ni kuhusu maafisa wa tume ya uchaguzi IEBC sawia na mabadiliko kwa mfumo wa uwasilishaji wa matokeo. Lakini kuna uwezekano wa kutimiza matakwa ya Nasa na kuwezesha kuandaliwa kwa uchaguzi huo? Ni yepi yanaweza kufanikishwa na kuhakikishia taifa usalama wa kisiasa?

Tags:

IEBC NASA Ezra Chiloba Nasa demands

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories