NASA wanataka maafisa 11 wa IEBC wasisimamie uchaguzi
Published on: September 15, 2017 08:46 (EAT)
Siku 31 kabla ya marudio ya uchaguzi wa urais muungano wa Nasa umetangaza baadhi ya mabadiliko ambayo unataka yafanywe kabla ya uchaguzi la sivyo uchaguzi usifanyike Oktoba 17 kama ilivyoratibiwa. Baadhi ya masuala tata ni kuhusu maafisa wa tume ya uchaguzi IEBC sawia na mabadiliko kwa mfumo wa uwasilishaji wa matokeo. Lakini kuna uwezekano wa kutimiza matakwa ya Nasa na kuwezesha kuandaliwa kwa uchaguzi huo? Ni yepi yanaweza kufanikishwa na kuhakikishia taifa usalama wa kisiasa?
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment