NASA wapanga kuwaapisha Raila na Kalonzo, Jan 30
Published on: January 03, 2018 08:05 (EAT)
Huenda kinara wa muungano wa NASA Raila Odinga na Kalonzo Musyoka wakaapishwa mwishoni mwa mwezi huu. Hii ni baada ya kamati andalizi inayoongozwa Na Daktari David Ndii kuitisha kikao kesho ili kutoa ratiba pamoja na mikakati ya kuapishwa kwa wawili hao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment