NASA wateuwa kamati ya kufanikisha bunge la wananchi
Published on: December 01, 2017 08:55 (EAT)
Muungano wa NASA umeteua kamati maalum ya wanachama saba watakaoendesha shughuli za bunge la wananchi linalopendekezwa na muungano huo.
Kamati hii itaongozwa na David Ndii huku muungano huu ukiendelea kukashifu uamuzi wa mahakama kusitisha mijadala ya kuunda vikao hivyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment