NASA wazidi kupanga kuipinga serikali

Mabunge kumi ya serikali za kaunti tofauti nchini tayari yamepitisha hoja za kuundwa kwa bunge la wananchi kwa kufuata agizo la vinara wa muungano wa NASA. Hatua hiyo inajiri huku baadhi ya viongozi wa mrengo huo wakiashiria kwamba mabunge mengine manne yatapitisha mswada huo kufikia kesho. Je, mrengo wa NASA kisheria unalenga kuafikia nini na kipi baada ya kuafikia hatua hiyo?

Tags:

NASA peoples'assembly bunge la wananchi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories