NASA wazindua manifesto uwanjani Bukhungu, Kakamega
Published on: June 03, 2017 08:04 (EAT)
Muungano wa Nasa umezindua rasmi kampeni za urais wiki moja baada ya Mgombea urais Raila odinga na mgombea mwenza Kalonzo Musyoka kuidhinishwa na IEBC. Stephen Letoo alikuwa katika hafla hiyo iliyofanyika katika uwanja wa Bukhungu kaunti ya Kakamega na kuandaa taarifa ifuatayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment