NASA wazindua manifesto uwanjani Bukhungu, Kakamega
Published on: June 03, 2017 08:04 (EAT)
Muungano wa Nasa umezindua rasmi kampeni za urais wiki moja baada ya Mgombea urais Raila odinga na mgombea mwenza Kalonzo Musyoka kuidhinishwa na IEBC. Stephen Letoo alikuwa katika hafla hiyo iliyofanyika katika uwanja wa Bukhungu kaunti ya Kakamega na kuandaa taarifa ifuatayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment