Nasa yasaka kura Meru
Published on: June 17, 2017 08:02 (EAT)
Mgombea urais wa muungano wa NASA Raila Odinga aliongoza kampeni za kutafuta kura kwa wenyeji wa Meru ambao wanamuunga mkono pakubwa Rais Uhuru Kenyatta. Raila aliahidi kuborasha maisha ya wenyeji na kuleta maendeleo akiwataja wapinzani wake kama ambao wamekosa kutimiza ahadi zao kwa wananchi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment