Nasa yasaka kura Meru

Mgombea urais wa muungano wa NASA Raila Odinga aliongoza kampeni za kutafuta kura kwa wenyeji wa Meru ambao wanamuunga mkono pakubwa Rais Uhuru Kenyatta. Raila aliahidi kuborasha maisha ya wenyeji na kuleta maendeleo akiwataja wapinzani wake kama ambao wamekosa kutimiza ahadi zao kwa wananchi.

Tags:

raila odinga meru NASA

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories