NASA yasema Uhuru hakuchaguliwa kihalali
Published on: August 16, 2017 08:15 (EAT)
Muungano wa NASA sasa umeamua kwenda mahakamni kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais. Kiongozi wa muungano huo raila ondinga amesema kuwa nasa imafikia hayo kufuatia kuvurugwa kwa mashirika ya kijamii ambayo yalikuwa yamepania kwenda mahakamni. Aidha Raila amesema kuwa nasa itaasilisha ushahidi wa kuonyesha jinsi kura zilivyoibiwa na kuwa kuwasilisha kesi mahakamani kutatoa nafasi kw aidara ya mahakama kusafisha jina lake mbele ya wananchi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment