Nasa yauza sera Naivasha

Muungano wa NASA hii leo umeendeleza kampeni zake katika eneo la Naivasha, kaunti ya Nakuru na kukashifu vikali serikali ya Rais Uhuru Kenyatta kwa kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa Wakenya. Odinga ameahidi serikali ya NASA itafanya kila juhudi kutatua gharama ya maisha.

Tags:

raila odinga NAIVASHA NASA

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories