Nasa yauza sera Naivasha
Published on: June 21, 2017 08:46 (EAT)
Muungano wa NASA hii leo umeendeleza kampeni zake katika eneo la Naivasha, kaunti ya Nakuru na kukashifu vikali serikali ya Rais Uhuru Kenyatta kwa kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa Wakenya. Odinga ameahidi serikali ya NASA itafanya kila juhudi kutatua gharama ya maisha.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment