Nasa yauza sera Naivasha

Muungano wa NASA hii leo umeendeleza kampeni zake katika eneo la Naivasha, kaunti ya Nakuru na kukashifu vikali serikali ya Rais Uhuru Kenyatta kwa kushindwa kutekeleza ahadi zake kwa Wakenya. Odinga ameahidi serikali ya NASA itafanya kila juhudi kutatua gharama ya maisha.

Tags:

raila odinga NAIVASHA NASA

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories