NCCK: Chanjo Ya Pepopunda Ifanyiwe Utafiti

Baraza la kitaifa la makanisa nchini NCCK, limeitaka serikali pamoja na kanisa katoliki kufanya utafiti wa kina ili kutatua mzozo uliopo kati ya kanisa hilo na serikali kuhusiana na chanjo ya pepopunda inayo fadhiliwa na serikali.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories