Nelson Marwa na gavana Joho watofautiana

Kamishna wa kaunti ya Mombasa Nelson Marwa amesema kuwa sharti maafisa wa trafiki wa kaunti ya Mombasa waondoke kwenye barabara za mji huo.
Marwa amesema kuwa kuwepo kwa maafisa hao wa kaunti katika barabara hizo kunahujumu kazi ya maafisa wa trafiki. Haya yanajiri huku gavana wa mombasa hassan Ali Joho akimkashifu marwa na kumlaumu kwa utumizi mbaya wa mamlaka. Steven Letoo na tarifa hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories