Nelson Marwa na gavana Joho watofautiana

Kamishna wa kaunti ya Mombasa Nelson Marwa amesema kuwa sharti maafisa wa trafiki wa kaunti ya Mombasa waondoke kwenye barabara za mji huo.
Marwa amesema kuwa kuwepo kwa maafisa hao wa kaunti katika barabara hizo kunahujumu kazi ya maafisa wa trafiki. Haya yanajiri huku gavana wa mombasa hassan Ali Joho akimkashifu marwa na kumlaumu kwa utumizi mbaya wa mamlaka. Steven Letoo na tarifa hiyo.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories