NEMA yazidisha oparesheni dhidi ya vilabu vinavyotoa kelele nyingi
Published on: January 13, 2018 07:56 (EAT)
Halmashauri ya usimamizi wa mazingira nchini NEMA ameahidi kuzidisha vita dhidi ya udhia utokanao na kelele kwenye maeneo ya burudani. NEMA imesema kuwa itazidi kuendesha opresheni za kufunga, kuwakamata na kuwashtaki wamiliki na wasimamizi wa vilabu vitakavyokiuka sheria zilizopo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment