Nicholas Biwott afariki akiwa na miaka 77
Published on: July 11, 2017 08:34 (EAT)
Waziri wa zamani Nicholas Kipyator Biwott ameaga dunia. Biwott aliaga dunia alipokuwa akipokea matibabu Nairobi Hospital. Marehemu Biwott pia alikuwa mwanasiasa aliyehudumu katika serikali za Jomo Kenyatta, Moi na Kibaki. Biwott ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 77.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment