Njaa yanukia, viwavi wakiendelea kuvamia mahindi

Wakulima wa mahindi kutoka eneo la kaskazini mwa kuresoi kaunti ya Nakuru wametoa onyo kwa serikali kuwa kuna uwezekano wa kukosa mahindi ya kutosha kufikifikia mwaka ujao kwa sababu ya uvamizi wa viwavi walioharibu mahindi mashambani.

Tags:

UNGA Ugali mahindi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories