Njaa yanukia, viwavi wakiendelea kuvamia mahindi
Published on: September 19, 2017 08:06 (EAT)
Wakulima wa mahindi kutoka eneo la kaskazini mwa kuresoi kaunti ya Nakuru wametoa onyo kwa serikali kuwa kuna uwezekano wa kukosa mahindi ya kutosha kufikifikia mwaka ujao kwa sababu ya uvamizi wa viwavi walioharibu mahindi mashambani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment