Nkaissery, Omamo wawaonya wapinzani

Waziri wa ulinzi Racheal Omamo na mwenzake wa usalama wa ndani Jospeh Nkaisery wamesisitiza kuwa maafisa wa usalama wataendelea kutekeleza wajibu wao bila ya kuegemea upande wowote wa kisiasa, ama mapendeleo ya aina yoyote.
Wakihudhuria kufuzu kwa maafisa waliopokea mafunzo spesheli ya usalama wa kabla, wakati, na baada ya uchaguzi mkuu ujao, mawaziri hao wamewauliza maafisa wa usalama kupuuzilia mbali vitisho kutoka kwa wanasiasa.

Tags:

KDF Joseph Nkaissery Rachael Omamo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories