Nyendo Za Fidel

Maafisa wa kitengo cha upelelezi walifurika nyumbani kwake Fidel Odinga mwanawe kiongozi wa CORD Raila Odinga saa chache baada ya kifo chake mapema Jumapili ili kubaini hatua zake za mwisho kabla ya kifo hii Jumapili asubuhi. Duru za kuaminika zikiarifu kuwa fidel alikuwa na marafiki wake wakibugia mvinyo katika mkahawa wa sarabi katika hoteli ya sankara kabla ya kifo chake nyumbani kwake.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories