Nyeri yapata Gavana mpya
Published on: February 27, 2017 09:39 (EAT)
Balozi Samuel Wamathai ameapishwa kuwa gavana mpya wa kaunti ya Nyeri kufuatia kifo cha aliyekuwa Gavana Nderitu Gachagua aliyefariki ijumaa iliopita katika hospitali moja huko london, uingereza.
Haya yanajiri huku nduguye mwendazake gachagua rigathi akiwasuta baadhi ya wanasiasa kutoka kaunti hiyo wanamwomboleza gavana gachagua licha ya kuwa walimkejeli akiwa hai, na hata kuongoza njama ya kumwondoa afisini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment