Nyuki wapiga kambi kwenye pikipiki moja mjini Kabarnet
Published on: January 04, 2018 08:14 (EAT)
Shughuli zilisita mjini Kabarnet huku wenyeji wakikusanyika kushuhudia waliyoyataja kama maajabu ya mwaka. Ni kisa cha nyuki kuabiri bodaboda. Ushayaskia?
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment