Nyuki wavamia watu nje ya mahakama
Published on: September 20, 2017 08:21 (EAT)
Huku majaji wa mahakama ya upeo wakisoma hukumu yao kikamilifu, kizaazaa kilizuka nje ya mahakama hiyo pale ambapo bumba la nyuki liliwavamia waandamanaji, wanahabari na hata maafisa wa polisi baada ya kuchokorwa na waandamanaji waliokuwa wakikwepa ukali wa vitoa machozi walivyorushiwa baada ya kuzua rabsha.
OCPD wa Lang’ata Elija Mwangi, alijipata pabaya baada ya kushambuliwa na wadududu hao wenye hasira.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment