Odinga ailaumu serikali kwa miradi Garissa

Kinara wa ODM Raila Odinga leo amezuru eneo la Garissa ambapo amewataka vijana kujitokeza kwa wingi na kujiandikisha kuwa wapigakura. Odinga ametumia ziara hiyo kuikosoa serikali akidai kuwa imewatenga wakazi wa eneo hilo.

Tags:

raila odinga Aden Duale garissa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories